Wednesday, May 12, 2010

Sanamu iliyoibwa Bongo na Waswiss yarejeshwa


Sanamu ya Makonde ambacho kiliibiwa kutoka Makumbusha ya Taifa Dar es Salaam, ilibwa kati ya mwaka 1984-1986 pamoja na baadhi ya mikusanyo ya mila na Sanamu hiyo kilikamatwa nchini Uswisi na hatimaye kurejeshwa hapa nchini.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga akipokea Sanamu hiyo kutoka kwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dk.Ladislaus Komba.Kinyago hicho kilikutwa katika makumbusho ya Barbier Murller nchini Switzerland. Sanamu hii ilikabidhiwa nchini Mei 9 2010 na uongozi wa Makumbusho hiyo ya Switzerland

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...