Wednesday, May 19, 2010

Mkutano wa jimbo



Mkutano Mkuu wa Jimbo Nachingwea uliofanyika Jumamosi, Mei 15, 2010 na kuhudhuriwa na Mbunge Nachingwea Mathias Chikawe, Mbunge wa Jimbo jirani la Mtama Bernard Membe na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa Mzee Ally Mtopa. Wajumbe zaidi ya 800 walihudhuria kutoka kata 27 za Jimbo la Nachingwea.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...