Wednesday, May 19, 2010

Mkutano wa jimbo



Mkutano Mkuu wa Jimbo Nachingwea uliofanyika Jumamosi, Mei 15, 2010 na kuhudhuriwa na Mbunge Nachingwea Mathias Chikawe, Mbunge wa Jimbo jirani la Mtama Bernard Membe na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa Mzee Ally Mtopa. Wajumbe zaidi ya 800 walihudhuria kutoka kata 27 za Jimbo la Nachingwea.

No comments:

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...