Tuesday, May 04, 2010

Mugabe ndani ya nyumba


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu Rais Wa Zimbabwe Robert Mugabe Ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.Rais Mugabe yupo nchini kwa mazungumzo na Rais Jakaya Kikwete.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)

New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...