Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Alfonso E. Lenhardt kushoto akipata maelezo ya kipeperushi kinachoonyesha jinsi miundombinu ya Barabara ilivyoharibiwa vibaya na mvua zitokanazo na mabadiliko ya Tabia Nchi kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mh.Dkt Batilda Salha Burian, alipotembelea Ofisini kwake mtaa wa Luthuli Jijini dar es Salaam Leo
Monday, May 10, 2010
Balozi wa Marekani nchini Tanzania amtembelea Waziri Dr Batilda Burian
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Alfonso E. Lenhardt kushoto akipata maelezo ya kipeperushi kinachoonyesha jinsi miundombinu ya Barabara ilivyoharibiwa vibaya na mvua zitokanazo na mabadiliko ya Tabia Nchi kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mh.Dkt Batilda Salha Burian, alipotembelea Ofisini kwake mtaa wa Luthuli Jijini dar es Salaam Leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment