Wednesday, May 19, 2010

Balozi Alfonso aula



BALOZI wa Marekani hapa nchini, Alfonso Renhardt akiwa pamoja na Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Juma Mwapachu akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jumuiya ya Afrika ya Mashariki jana mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho kwa katibu huyo wa EAC. Picha na Mussa Juma.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...