Wednesday, May 19, 2010

Balozi Alfonso aula



BALOZI wa Marekani hapa nchini, Alfonso Renhardt akiwa pamoja na Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Juma Mwapachu akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jumuiya ya Afrika ya Mashariki jana mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho kwa katibu huyo wa EAC. Picha na Mussa Juma.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...