Wednesday, May 19, 2010

Balozi Alfonso aula



BALOZI wa Marekani hapa nchini, Alfonso Renhardt akiwa pamoja na Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, Juma Mwapachu akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya jumuiya ya Afrika ya Mashariki jana mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho kwa katibu huyo wa EAC. Picha na Mussa Juma.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...