Tuesday, May 04, 2010

Tsvangirai awasili kuhudhuria mkutano wa WEF


Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Shangirai akisalimiana na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania Jenerali Mstaafu(RTD Gen.) Chimonyo mapema jana ( saa sita usiku) katika chumba maalum cha viongozi ( VIP)kilichoko Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.


Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Shangirai (katikati) akitoka nje ya chumba maalum cha viongozi (VIP) kilichopo Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana (saa sita usiku) kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe mhe. Adadi Rajabu.

(Picha na Anna Itenda wa Maelezo )

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...