Tuesday, May 04, 2010

Tsvangirai awasili kuhudhuria mkutano wa WEF


Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Shangirai akisalimiana na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania Jenerali Mstaafu(RTD Gen.) Chimonyo mapema jana ( saa sita usiku) katika chumba maalum cha viongozi ( VIP)kilichoko Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.


Waziri Mkuu wa Zimbabwe Morgan Shangirai (katikati) akitoka nje ya chumba maalum cha viongozi (VIP) kilichopo Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jana (saa sita usiku) kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe mhe. Adadi Rajabu.

(Picha na Anna Itenda wa Maelezo )

No comments:

PROF. SHEMDOE AWAASA WANAFUNZI KUENDELEZA VIPAJI VYAO VYA MICHEZO, SANAA

• Awataka kuwa na nidhamu na kusoma kwa bidii Na OWM - TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali ...