Tuesday, May 25, 2010

Tume ya kurekebisha sheria


Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) Jaji Fredrick Werema akikabidhiwa ripoti mbalimbali zilizofanyiwa kazi na Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo Japhet Sagasii wakati alipoitembelea tume hiyo leo, wengine ni Naibu Katibu Mtendaji (Utafiti) Adam Mambi (wa pili kulia ) na Naibu Katibu Mtendaji (Mapitio) Angela Bahati .

No comments:

Rais Museveni Afanya Ziara ya Kikazi Tanzania, Aimarisha Ushirikiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi ya siku moja, ziara inayodh...