Saturday, May 08, 2010

Mnuso wa kuhitimisha mkutano wa uchumi


Rais wa Janhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete katikati, Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma, Wazi Mkuu wa Kenya Mhe.RailaOdinga na Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Dk. Salim Ahmed Salim, wakisakata Rumba katika Tafrija ya kukamilisha Mkutano wa Uchumi Duniani iliyofanyika jana katika Viwanja vya Ikulu Dar es salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein, akisakata Rumba na Bi Elsie Kanza kwenye Tafrija ya kukamilisha mkutano wa Uchumi Duniani iliyofanyika jana wa kuamkia leo katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar

,

1 comment:

Anonymous said...

AAAH! ZUMA ANAONEKANA KAPATA MCHUMBA WA KIZUNGU.