Monday, May 17, 2010

Rais Kikwete azindua Benjamin William Mkapa Special Economic Zone


Rais Jakaya Kikwete akiwa na Rais mstaafu awamu ya tatu Benjamin William Mkapa wakitembelea baadhi ya maeneo ya ukanda maalumu wa uwekezaji kwaajili ya kuuza nje lijulianalo kama (Benjamin William mkapa Special Economic Zone) huko Mabibi,Ubungo jijini Dar es Salaam, leo asubuhi. Rais Kikwete alifungua rasmi ukanda huo mpya wa uwekezaji (Picha na Freddy Maro)

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...