Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waandishi wa Habari May 2, 2010 baada ya kukagua maadalizi ya mapokezi ya wageni watakaoshiriki katika Mkutano wa World Economic Forum unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam kuanz a May 5, 2010 kwenye ukumbi wa Mlimani City utakapofanyia mkutano huo. Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Peniel Lymo na kushoto ni Mkurugenzi wa Afrika wa World Economic Forum, Catherine Tweedie. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Sunday, May 02, 2010
Mkutano wa Afrika wa World Economic Forum waiva
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waandishi wa Habari May 2, 2010 baada ya kukagua maadalizi ya mapokezi ya wageni watakaoshiriki katika Mkutano wa World Economic Forum unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam kuanz a May 5, 2010 kwenye ukumbi wa Mlimani City utakapofanyia mkutano huo. Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Peniel Lymo na kushoto ni Mkurugenzi wa Afrika wa World Economic Forum, Catherine Tweedie. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)
New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment