Monday, May 17, 2010

Mdau Ernest alamba Nondozzz ya master of IT Project Management


Vincent Ernest akiwa na washikaji zake Stephen Kassambo kushoto na Godwin Meghji wa kulia baada ya kula Nondo zake University of Maryland huko Maryland. Kalamba master of IT Project Management. Jamaa wanakata nondozzz si mchezo hawa Blogu ya Charaz blogspot na timu yake wanamtakia kila la kheri Ernest kwa kula nondozzzz

1 comment:

Anonymous said...

Hongera mwana

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...