Monday, May 17, 2010

Mdau Ernest alamba Nondozzz ya master of IT Project Management


Vincent Ernest akiwa na washikaji zake Stephen Kassambo kushoto na Godwin Meghji wa kulia baada ya kula Nondo zake University of Maryland huko Maryland. Kalamba master of IT Project Management. Jamaa wanakata nondozzz si mchezo hawa Blogu ya Charaz blogspot na timu yake wanamtakia kila la kheri Ernest kwa kula nondozzzz

1 comment:

Anonymous said...

Hongera mwana

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...