Sunday, May 09, 2010

Athumani Khamis arejea na kupokelewa na wadau


Mpigapicha wa gazeti HABARILEO, Athumani Hamisi (kwenyekiti) alirejea nyumbani Dar es Salaam leo akitokea nchini Afrika Kusini alikwenda Septemba 28, 2008 kwa matibabu kufuatia ajali ya gari aliyoipata Septemba 12 mwaka huo akiwa njiani kwenda Kilwa mkoani Lindi kikazi. Kushoto aliyeshika shada la maua ni muuguzi kutoka Afrika Kusini aliyemsindikiza.
KWA HABARI ZA KINA ZAIDI KUHUSU TUKIO HILI HEBU TEMBELEA KWA MROKI

No comments:

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)

New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...