Sunday, May 09, 2010

Athumani Khamis arejea na kupokelewa na wadau


Mpigapicha wa gazeti HABARILEO, Athumani Hamisi (kwenyekiti) alirejea nyumbani Dar es Salaam leo akitokea nchini Afrika Kusini alikwenda Septemba 28, 2008 kwa matibabu kufuatia ajali ya gari aliyoipata Septemba 12 mwaka huo akiwa njiani kwenda Kilwa mkoani Lindi kikazi. Kushoto aliyeshika shada la maua ni muuguzi kutoka Afrika Kusini aliyemsindikiza.
KWA HABARI ZA KINA ZAIDI KUHUSU TUKIO HILI HEBU TEMBELEA KWA MROKI

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...