Monday, May 31, 2010

Ziara ya TEA katika picha


MWALIMU WA TAASISI YA TEKNOLOJIA NA SAYANSI MBEYA ,BW DANIEL SIKONDE (KUSHOTO) AKITOA MAELEKEZO KWA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA (TEA) JUU YA MOJA YA VIFAA VYA KUFUNDISHIA VILIVYOTOLEWA NA MAMLAKA HIYO, KWA VIFAA VILIVYOTOLEWA NA TEA VINA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 436.PICHA KWA HISANI YA ABDUL NJAIDI.

No comments:

MAJALIWA KUZINDUA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA.

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2025 amefungua maonesho ya nane ya teknolojia ya madini kwa mwaka 2025 ambayo yamefanyika kweny...