Sunday, May 02, 2010

Mafanikio ya teknolijia ya mawasiliano


Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Iringa(Iringa Girls) wakianza kuzitumia kompyuta walizopewa na Mfuko wa Vodacom, Mfuko huo ulitoa Kompyuta 15 zenye thamani ya shilingi milioni 10.5 kwa shule hiyo hadi sasa umeshatoa kompyuta 313 kwa shule za sekondari 34 hapa nchini zenye thamani ya shilingi milioni 216.

Meneja wa Vodacom tawi la Iringa, Mnare Murungwa akimkabidhi kompyuta Mkuu wa Shule ya sekondari Wasichana ya Iringa(Iringa Girls) Mchome Ernest, anayeshuhudia ni Meneja wa Mfuko wa Vodacom Yesaya Mwakifulefule.Mfuko huo ulitoa Kompyuta 15 zenye thamani ya shilingi milioni 10.5 hadi sasa umeshatoa kompyuta 313 kwa shule za sekondari 34 hapa nchini zenye thamani ya Sh milioni 216.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...