Saturday, May 15, 2010

Kili Music awards

Sean-Kingston performance Sat May 15, 2010 at Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

Mrisho mpoto akionesha tuzo yake ya wimbo bora wenye asili ya Kitanzania uitwao nikipata Nauli

Mdau mkubwa wa timu ya Yanga,Bw. Madega akikamkabidhi Diamond tuzo yake ya wimbo bora wa R&B uitwao Kamwambie

Mzee Yusuf akionyesha tuzo yake ya Mtunzi bora wa nyimbo, na pia kundi lake la Jahazi lilinyakua tuzo ya albamu bora ya taarabu iliyoitwa Daktari wa Mapenzi

Gadner Habash akimpongeza mkewe Lady Jay Dee kwa kupata tuzo ya Female Artist of the Year ambayo alipokea kwa niaba.

No comments: