Friday, May 28, 2010

Miss Dar Inter College


Mshindi wa Miss Dar Inter College , Rose John wa chuo cha ustawi wa jamii (katikati) akiwa amepozi kwenye picha na zawadi mshindi wa pili ,Cassiana Milinga kutoka chuo cha biashara CBE (kulia) na mshindi wa tatu Marylidya Boneface naye kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii. Picha na Silvan Kiwale

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...