Friday, May 28, 2010

Miss Dar Inter College


Mshindi wa Miss Dar Inter College , Rose John wa chuo cha ustawi wa jamii (katikati) akiwa amepozi kwenye picha na zawadi mshindi wa pili ,Cassiana Milinga kutoka chuo cha biashara CBE (kulia) na mshindi wa tatu Marylidya Boneface naye kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii. Picha na Silvan Kiwale

No comments:

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA MKUTANO WA KAMATI YA KITUO CHA KUDHIBITI MAGONJWA AFRIKA (CDC)

New York, Marekani – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amesisitiza umuhimu wa mifumo endelevu ya ...