

Mshindi wa Miss Dar Inter College , Rose John wa chuo cha ustawi wa jamii (katikati) akiwa amepozi kwenye picha na zawadi mshindi wa pili ,Cassiana Milinga kutoka chuo cha biashara CBE (kulia) na mshindi wa tatu Marylidya Boneface naye kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii. Picha na Silvan Kiwale
No comments:
Post a Comment