Thursday, May 29, 2014

SAFARI YA MWISHO YA MPENDWA MWANDISHI WA HABARI MAXIMILLIAN NGUBE HAPA DUNIANI

            
Baadhi ya ndugu na jamaa wakifarijiwa na wakazi wa jiji waliofika katika msiba huo wa Mpigapicha wa Kituo cha Televisheni cha Mlimani marehemu Maxmillian John Ngube.

Wakazi wa jiji waombolezaji wakiwa kati mstari wa kutoa heshima za mwisho kwa marehemu
                 Mke wa marehemu Suzy Jacob akiushika mwili wa  mumewe wakati  wa kuaga viwanja vya leaders Dar es Salaam.                            
Jeneza la mwili wa marehemu likishushwa katika kaburi.                                        Mchungaji (kushoto) akiendesha sala wakati wa maziko.                              Mmoja wa watoto wa marehemu akilia kwa uchungu wakati wa kuweka udongo katika kaburi la baba yake.           Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika huzuni kubwa wakati wa maziko hayo

No comments: