Monday, May 05, 2014

KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 MLIMANI CITY JIJINI DAR

Mshindi wa tuzo saba za KTMA Diamond akikabidhiwa tuzo na staa wa filamu Bongo, Vincent Kigosi 'Ray'.
...Akikabidhiwa tuzo na mchumba wake Wema Sepetu.
...Akipokea tuzo kutoka kwa George Kavishe.
...Akipozi na mpenzi wake Wema Sepetu.
...Akiwa na Nay wa Mitego baada ya tuzo yao ya Wimbo Bora wa Kushirikisha/Kushirikiana ambao ni Muziki Gani.
Diamond akipokea tuzo kutoka kwa prodyuza Tuddy Thomas.
Shabiki wa Diamond akimpongeza kwa kutwaa tuzo nyingi.
...Akipokea tuzo nyingine kutoka kwa 'shemeji yake' Martin Kadinda.
...Akikumbatiana na mpenzi wake Wema kabla ya kupewa tuzo.
...Akiwashukuru mashabiki.
Msanii Ray C akikabidhi tuzo kwa Nikki wa Pili ambaye ni memba wa Weusi.
Weusi wakiwa na tuzo yao ya Kikundi Bora cha Mwaka, Kizazi Kipya.
Msanii Bora wa Hip hop na Mtunzi Bora wa Mwaka Hip hop, Farid Kibanda 'Fid Q' baada ya kutwaa tuzo zake mbili.
Mwimbaji Bora wa Kike Taarab na Mtumbuizaji Bora wa Kike wa Muziki, Isha Ramadhan 'Mashauzi' akiwa na mojawapo ya tuzo zake.
Msanii Young Killer akipokea tuzo yake ya Msanii Bora Chipukizi Anayeibukia kutoka kwa msanii JB.
...Killer akiwashukuru mashabiki.
Man Water kutoka Combnation Sound akiwa na tuzo yake ya Mtayarishaji Bora wa Nyimbo wa Mwaka, Kizazi Kipya.
Mwanadada Vanessa Mdee akiwa na tuzo yake ya Wimbo Bora wa RnB aliyokabidhiwa na Elizabeth Michael 'Lulu'.
Mwimbaji Bora wa Kike Bendi, Luiza Mbutu (katikati) akiwa na tuzo yake aliyokabidhiwa na wasanii kutoka Kenya, Amani na Kelvin Wyre.
Mtunzi Bora wa Mwaka Bendi, Christian Bella akipokea tuzo yake kutoka kwa Issa Michuzi.
Mashujaa wakipozi na mojawapo ya tuzo zao.

No comments: