Thursday, May 29, 2014

Wabunge wa CUF kutoka Zanzibar Walipotaka kumtandik’ Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy.

Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy. akikataa kupigwa picha wakati wakati huku wabunge wa cuf wakifuata nyuma na kumuoinyesha vidole kwa kutaka asimame ili wapambanekutokana na baada ya mbunge wa nkasi Ali kessy kutoa maneno ya kashfa kwa wabunge wa zanzibar wakati wa uchangiaji wa bajeti ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wakati wa maneno hayo pamoja na madai zanzibar ni nchi ndogo sawa na jimbo lake la nkasi

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...