Thursday, May 08, 2014

BABAKE MBUNGE WA LUDEWA-CCM DEO FILIKUNJOMBE AZIKWA LUDEWA

 Mbunge wa  Ludewa Deo Filikunjombe akiwa na mbunge Zitto Kabwe  kulia
 Timu ya wabunge  waliofika  kumfariji Filikunjombe jana
 Mbunge Zitto Kabwe  kulia akimfariji mbunge wa Ludewa Deo Filikunjombe jana  mjini Ludewa kwa kifo  cha babake mbunge Filikunjombe
 Mbunge Zitto Kabwe kushoto akishiriki msosi na mbunge Deo Filikunjombe
 Katibu  wa itikadi na uenezi mkoa wa Njombe Honoratus Mgaya  akimwomba Zitto Kabwe kusaidia kushirikiana na mbunge Filikunjombe juu ya ubovu wa miundo mbinu Njombe- Ludewa
 DC Ludewa Bw Juma Madaha akitambulisha  viongozi mbali mbali

 Naibu  waziri wa maendeleo ya wanawake na watoto Pindi Chana na mkuu wa wilaya  ya Njombe Sarah Dumba kulia kushoto ni mwenyekiti wa CCM Ludewa Bw Stanley Kolimba



  Kamanda  wa polisi Njombe
  Kutoka  kushoto mkuu wa wilaya ya  Ludewa  Juma Madah ,mbunge wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe na mbunge wa jimbo la  kigoma kaskazani Zitto Kabwe wakiwa katika msiba wa babake Filikunjombe mjini Ludewa mchana  wa jana
 RPC Njombe  akiongoza  msafara wa mazishi hayo hii ni polisi jamii ulinzi shirikishi
 Mbunge wa  jimbo la Mwibara Kang Lugola akishuka katika gari
Mbunge wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe kushoto  akilitazama jeneza lenye mwili wa babake marehemu  Frolian Filikunjombe likiingizwa  ndani ya kanisa la RC Ludewa kwa ajili ya ibada ya mwisho kabla ya mazishi  yaliyofanyika katika makaburi ya Ludewa mjini
Picha Zote na Francis Godwin 
--- 

No comments: