Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
16 comments:
mbona kambi nyingine hazina majina ya wanafunzi na mashule je ndivo ilvo.
mbona kifungilo haionekani alafu hao wanaoenda december chuo lini??
MBONA HAYAFUNGUKI MAJINA
MBONA HAYAFUNGUKI?
bora mpange kishule mawenzi isikosekane
Majina hayafunguki
Majina yenyewe hayaonekani!
Majina ndo service unavailable?
Jipangeni, mkiwa mnaweka link mbovu ka hizi watu wataacha kusoma blog yenu. Kabla ya kupost habari kama hii, tafuteni hizo list then mzidirect kwenye download source nyingine, if website mama kama ya JKT haijajipanga km hii!!!
Blogger's Mmmekuwa na mambo ya Ajabu sana Mnaweka link ambazo hazipatikani Huu ni udanganyifu Ili tu Blog zenu zitembelewe alafu Muache Copy & Paste - Wapuuuzi tu
Jamani mbona majina hayaonekan,,,
mbona majina hayafunguki?
hv ndo nn? this z xtupid! hiyo link inarud ln mana watu hatujui tumepangiwa wap!
Majina ya JKT tajwa hayafunguki kabisa. Sasa tutapataje utaratibu wa kujiunga hasa lini, wapi, mahitaji na utaratibu wa udahili
Jamani blog yenu haina maana kabsa ila na uzushi tu majina hayafunguki
shule na majina hayafunguki
Post a Comment