Monday, September 30, 2013

AZANIA BANK YACHANGIA MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE YA SEKONDARI NARUMU













Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi 
Hajira Mmambe
 akipeana mkono na mwenyekiti wa bodi ya shule ya 
sekondari Narumu,Deodatus Nyoni mara baada ya 
kukabidhi mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi 
wa Bweni.














Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira 
Mmambe akipeana mkono na mkuu wa shule
 ya sekondari Narumu,Sister Joyce Mboya 
mara baada ya kukabidhi mifuko 100 ya 
saruji kwa ajili ya ujenzi wa Bweni.














Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira 
Mmambe katika picha ya pamoja na wanafunzi 
wa kidato cha nne waliohitimu katika shule ya
 sekondari Narumu iliyopo wilayani Hai.














Mkuu wa shule ya sekondari Narumu Sister Joyce
 Mboya akizungumza wkati wa mahafali ya 25 
ya kidato cha nne katika shule hiyo.














Wahitimu wa kidato cha nne katika shule ya
 sekondari Narumu sekondari wakiingia kwa
 madaha uwanjani kutoa burudani ya nyimbo 
kwa wageni.














Dada mkuu anayemaliza muda wake katika shule 
ya sekondari Narumu Anna Geluas akisoma risala 
mbele ya mgeni rasimi(hayupo pichani)aliyemshikia
 kipaza sauti ni mhitimu mwenzake Happiness Mkama.














Mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari Narumu 
Deodatus Nyoni akizungumza wakati wa mahafali 
ya 25 ya kidato cha nne katika shule hiyo.














Mgeni rasmi katika mahafali ya 25 ya kidato cha 
nne katika shule ya sekondari Narumu Hajara 
Mmambe akizungumza wakati wa mahafali hayo.














Mgeni mwalikwa katika mahafali ya 25 ya shule ya 
sekondari Narumu Ibrahimu Shayo(Ibra Line) 
akizungumza jambo wakati wa mahafali hayo.














Mwenyekiti wa bodi ya shule Deodatus Nyoni 
akimkabidhi zawadi mgeni rasmi katika mahafali 
hayo Hajira Mmambe kwa niaba ya Bodi .














Mgeni rasmi katoka mahafali hayo ambaye pia
 ni meneja wa benki ya Azania tawi la Moshi ,













Hajira Mmambe akikata keki katika sherehe hiyo.
Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi Hajira Mmambe
 katika picha ya pamoja na wanafunzi wa kidato cha 
nne waliohitimu katika shule ya sekondari Narumu
 iliyopo wilayani Hai.

No comments: