Friday, September 27, 2013

Waziri Mkuu Atua Tanga kwa ziara ya kiserikali



















































Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (kushoto)  wakitazama
 ngoma kutoka katika kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga Septemba 25, 2013. 
Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda 
ya Kaskazini  Mjini Tanga Septemba 26, 2013.

No comments:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...