Friday, September 27, 2013

Waziri Mkuu Atua Tanga kwa ziara ya kiserikali



















































Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (kushoto)  wakitazama
 ngoma kutoka katika kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga Septemba 25, 2013. 
Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda 
ya Kaskazini  Mjini Tanga Septemba 26, 2013.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...