Friday, September 27, 2013

Waziri Mkuu Atua Tanga kwa ziara ya kiserikali



















































Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (kushoto)  wakitazama
 ngoma kutoka katika kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga Septemba 25, 2013. 
Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda 
ya Kaskazini  Mjini Tanga Septemba 26, 2013.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...