Friday, September 27, 2013

Waziri Mkuu Atua Tanga kwa ziara ya kiserikali



















































Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (kushoto)  wakitazama
 ngoma kutoka katika kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga Septemba 25, 2013. 
Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda 
ya Kaskazini  Mjini Tanga Septemba 26, 2013.

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA

Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...