Friday, September 27, 2013

Waziri Mkuu Atua Tanga kwa ziara ya kiserikali



















































Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu (kushoto)  wakitazama
 ngoma kutoka katika kikundi cha sanaa cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga Septemba 25, 2013. 
Mheshimiwa Pinda anatarajiwa kufungua Kongamano la Uwekezaji la Kanda 
ya Kaskazini  Mjini Tanga Septemba 26, 2013.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...