Thursday, September 05, 2013

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa


Waziri Mkuu aliyejiuzulu ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa jana wakati wa ibada ya mazishi ya Askofu Mkuu, Moses Kulola wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) aliyezikwa nje ya Kanisa la Calvary Bugando jijini Mwanza. Na Mpigapicha Wetu   

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA GRUPA ZENITH YA POLAND

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Grupa Zenith ...