Monday, September 09, 2013

Ona Jinsi Majeshi ya MONUSCO Yanayoongozwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)Yalivyochakaza Ngome ya Kikundi cha Waasi cha M23


Mwanajeshi wa Jeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi 
wa Tanzania(JWTZ)akiwa kwenye  Mapigano ndani ya Kibati
Kazi ni moja tu, nayo ni Kongo kuwa huru, vijana shupavu wanawajibika 
pichani ni Mwanajeshi wa Jeshi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la Wananchi wa 
Tanzania(JWTZ)akiwa kwenye  Mapigano
Majeshi ya MONUSCO yanayoongozwa na Wanajeshi Kutoka Jeshi la 
Wananchi wa Tanzania(JWTZ),yakidhibiti eneo la Kibati ilipokuwa 
ngome ya M23.Picha Zote na Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa 
Tanzania(JWTZ)-Upanga

No comments:

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...