Wednesday, September 25, 2013

Operesheni Kimbunga Awamu Ya Pili Yaanza

 Operesheni kimbunga phase two imeanza, na jana  Askari walikwenda kufanya Doria katika Mapori ya Kimisi kuangalia Kama wahamiaji haramu na mifugo Yao wamo.Pichani juu ni watoto wakiangalia Helcopter iliyotua katika eneo la Benako wakati polisi wakifanya Doria hiyo
Askari wa jeshi la polisi Mwijage akitoa somo la Uraia kwa watoto waliyokuja kuiangalia hapo benako wakati aw Doria ya kusaka wahamiaji haramu au illegal immigrants NA MIFUGO Yao katika pori la Kimisi Wilayani Ngara jana asubuhi

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...