Wednesday, September 25, 2013

Operesheni Kimbunga Awamu Ya Pili Yaanza

 Operesheni kimbunga phase two imeanza, na jana  Askari walikwenda kufanya Doria katika Mapori ya Kimisi kuangalia Kama wahamiaji haramu na mifugo Yao wamo.Pichani juu ni watoto wakiangalia Helcopter iliyotua katika eneo la Benako wakati polisi wakifanya Doria hiyo
Askari wa jeshi la polisi Mwijage akitoa somo la Uraia kwa watoto waliyokuja kuiangalia hapo benako wakati aw Doria ya kusaka wahamiaji haramu au illegal immigrants NA MIFUGO Yao katika pori la Kimisi Wilayani Ngara jana asubuhi

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...