Wednesday, September 25, 2013

Operesheni Kimbunga Awamu Ya Pili Yaanza

 Operesheni kimbunga phase two imeanza, na jana  Askari walikwenda kufanya Doria katika Mapori ya Kimisi kuangalia Kama wahamiaji haramu na mifugo Yao wamo.Pichani juu ni watoto wakiangalia Helcopter iliyotua katika eneo la Benako wakati polisi wakifanya Doria hiyo
Askari wa jeshi la polisi Mwijage akitoa somo la Uraia kwa watoto waliyokuja kuiangalia hapo benako wakati aw Doria ya kusaka wahamiaji haramu au illegal immigrants NA MIFUGO Yao katika pori la Kimisi Wilayani Ngara jana asubuhi

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...