BENDI ya Jahazi Modern Taarab usiku wa kuamkia leo imefunika vilivyo
katika onyesho lao la nguvu lililofanyika ndani ya Ukumbi wa Taifa wa
Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.Shoo
kali kutoka kwa Mzee Yusuf na kundi lake ilizikonga nyoyo za mashabiki
na kuwaacha roho safi.PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL
Monday, September 09, 2013
BENDI YA JAHAZI MODERN TAARAB YAFUNIKA DAR LIVE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
1 comment:
Duuh!
Post a Comment