BENDI ya Jahazi Modern Taarab usiku wa kuamkia leo imefunika vilivyo
katika onyesho lao la nguvu lililofanyika ndani ya Ukumbi wa Taifa wa
Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.Shoo
kali kutoka kwa Mzee Yusuf na kundi lake ilizikonga nyoyo za mashabiki
na kuwaacha roho safi.PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL
Monday, September 09, 2013
BENDI YA JAHAZI MODERN TAARAB YAFUNIKA DAR LIVE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa
#RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
1 comment:
Duuh!
Post a Comment