BENDI ya Jahazi Modern Taarab usiku wa kuamkia leo imefunika vilivyo
katika onyesho lao la nguvu lililofanyika ndani ya Ukumbi wa Taifa wa
Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.Shoo
kali kutoka kwa Mzee Yusuf na kundi lake ilizikonga nyoyo za mashabiki
na kuwaacha roho safi.PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL
Monday, September 09, 2013
BENDI YA JAHAZI MODERN TAARAB YAFUNIKA DAR LIVE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Duuh!
Post a Comment