BENDI ya Jahazi Modern Taarab usiku wa kuamkia leo imefunika vilivyo
katika onyesho lao la nguvu lililofanyika ndani ya Ukumbi wa Taifa wa
Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.Shoo
kali kutoka kwa Mzee Yusuf na kundi lake ilizikonga nyoyo za mashabiki
na kuwaacha roho safi.PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL
Monday, September 09, 2013
BENDI YA JAHAZI MODERN TAARAB YAFUNIKA DAR LIVE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA
Tarehe 8 Agosti 2025, viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma vilikua kitovu cha shughuli nyingi wakati wa Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nan...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
1 comment:
Duuh!
Post a Comment