Wednesday, September 25, 2013

RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAKUTANA NA MICHELLE, BARACK OBAMA NA MELINDA GATES


Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete 
wakiwa na mwenyeji wao Rais Barack Obama wa Marekani na 
mkewe Michelle wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa 
heshima ya viongozi wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa 68 wa
 Umoja wa Mataifa  jijini New York. (Picha kwa Hisani ya Rae
 Lynn Wargo wa  Umoja wa Mataifa).
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mama Melinda

 Gates wa Bill and Melinda Gates Foundation walipokutana
 katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini New York leo. (Picha
 na Freddy Maro)

No comments:

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI WASHIRIKI KIKAO CHA KWANZA CHA MKUTANO WA 19 WA BUNGE LA 12 KWA AJILI YA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI 2025/2026

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB), leo tarehe 8 Aprili 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mku...