Wednesday, September 25, 2013

RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAKUTANA NA MICHELLE, BARACK OBAMA NA MELINDA GATES


Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete 
wakiwa na mwenyeji wao Rais Barack Obama wa Marekani na 
mkewe Michelle wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa 
heshima ya viongozi wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa 68 wa
 Umoja wa Mataifa  jijini New York. (Picha kwa Hisani ya Rae
 Lynn Wargo wa  Umoja wa Mataifa).
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mama Melinda

 Gates wa Bill and Melinda Gates Foundation walipokutana
 katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini New York leo. (Picha
 na Freddy Maro)

No comments:

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...