Friday, September 27, 2013

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete Wakutana na Rais Wa Marekani Barack Obama na Mkewe Michelle Obama

















Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa 
na mwenyeji wao Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle 
wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya viongozi 
wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa 68 wa Umoja wa Mataifa jijini 
New York. Picha kwa Hisani ya Rae Lynn Wargo wa  Umoja wa Mataifa.

No comments:

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI WASHIRIKI KIKAO CHA KWANZA CHA MKUTANO WA 19 WA BUNGE LA 12 KWA AJILI YA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI 2025/2026

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB), leo tarehe 8 Aprili 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mku...