Friday, September 27, 2013

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete Wakutana na Rais Wa Marekani Barack Obama na Mkewe Michelle Obama

















Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa 
na mwenyeji wao Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle 
wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya viongozi 
wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa 68 wa Umoja wa Mataifa jijini 
New York. Picha kwa Hisani ya Rae Lynn Wargo wa  Umoja wa Mataifa.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...