Friday, September 27, 2013

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete Wakutana na Rais Wa Marekani Barack Obama na Mkewe Michelle Obama

















Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa 
na mwenyeji wao Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle 
wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya viongozi 
wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa 68 wa Umoja wa Mataifa jijini 
New York. Picha kwa Hisani ya Rae Lynn Wargo wa  Umoja wa Mataifa.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...