Friday, September 27, 2013

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete Wakutana na Rais Wa Marekani Barack Obama na Mkewe Michelle Obama

















Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa 
na mwenyeji wao Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle 
wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya viongozi 
wanaohudhuria Mkutano Mkuu wa 68 wa Umoja wa Mataifa jijini 
New York. Picha kwa Hisani ya Rae Lynn Wargo wa  Umoja wa Mataifa.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...