Friday, September 06, 2013

WAREMBO WA MISS TANZANIA NDANI YA MIKUMI NATIONAL PARK


Afisa Msadizi wa uhamasishaji Utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi 
mkoani Morogoro, Lidya Mandara akiwaPA MAELEZO warembo 
wa Redds Miss Tanzania 2013 juu ya bwawa la viboko na mamba lililopo 
katika hifadhi hiyo wakati warembo hao walipo tembelea hifadhi hiyo jana 
ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.






Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja
 mara baada ya kuwasili katika hifadhi ya taifa Mikumi jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.
(Picha na Mpigapicha wetu).
Mhifadhi Utalii katika Hifadhi ya Mikumi mkoani Morogoro, Tutendaga George akiwakawia warembo wa Redds Miss Tanzania 2013 walio tembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani kofia na CD zilizo na taarifa mbalimbali mbali za hifadhi hiyo ya taifa.

No comments: