Thursday, September 26, 2013

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Akagua magadi kwenye ziwa Natron na Kuhutubia Mkutano wa hadhara katika kijiji cha Digodigo wilayani Ngorongoro


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua magadi  kwenye ziwa Natron  akiwa   katika ziara ya Wilaya ya  Ngorongoro akiwa njiani kuelekea Mtowa Mbu akitoka Loliondo Septemba 24, 2013.  Wapili kulia ni Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia Mkutano wa hadhara katika kijijicha Digodigo wilayani  Ngorongoro  Septemba  24, 2013.  Kulia ni Mkewe Tunu na kushoto  ni Mkuu wa mkoa wa Arusha  Mulugo.
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akiwa  na wacheza ngoma wa kabila la Wasonje  kabla ya kuhutubia mkutano wa  hadhara katika kijiji cha Digodigo wilayani Ngorongoro   Septemba 24, 2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments: