Monday, September 28, 2009

Hebu nipe tofauti kati ya shule zetu na zao





Kuna tofauti kubwa saana kati ya shule zetu na zao hebu angalia shule zetu zilivyo na kisha uhusianishe na shule zao, miundombinu tofauti, vifaa vya kufundishia tofautio, mbinu za ufundishaji ndo usiseme, yaani basi hata majina yanakatiosha tamaaa, hivi watoto wanaotoka katika shule hizi zao la mwisho ni lipi litakaloongoza taifa, jibu unalo mwenyewe hebu nambie.

1 comment:

Unknown said...

go to my blog o8s33n9x37 replica bags buy online replica bags from turkey h4l14c1d36 replica bags wholesale go to the website b5y07e1j52 replica bags toronto you could try these out o2g93y1y97 replica bags buy online replica prada nylon bags