Monday, September 14, 2009

Mambo ya Tanga


Wafanyabiashara za mboga na matunda wa mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto wakiwa katika harakati za kuuza bidhaa zao, Soko hilo limejizolea umaarufu ambapo wasafiri wengi wanaiongia na kutoka katika Wilaya hiyo wamekuwa wakinufaika kwa kupata huduma hiyo.Picha ya mdau Burhani Yakub wa Tanga.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...