Monday, September 14, 2009

Mambo ya Tanga


Wafanyabiashara za mboga na matunda wa mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto wakiwa katika harakati za kuuza bidhaa zao, Soko hilo limejizolea umaarufu ambapo wasafiri wengi wanaiongia na kutoka katika Wilaya hiyo wamekuwa wakinufaika kwa kupata huduma hiyo.Picha ya mdau Burhani Yakub wa Tanga.

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...