Monday, September 14, 2009

Mambo ya Tanga


Wafanyabiashara za mboga na matunda wa mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto wakiwa katika harakati za kuuza bidhaa zao, Soko hilo limejizolea umaarufu ambapo wasafiri wengi wanaiongia na kutoka katika Wilaya hiyo wamekuwa wakinufaika kwa kupata huduma hiyo.Picha ya mdau Burhani Yakub wa Tanga.

No comments:

TANZANIA, CHINA ZAFUNGUA SURA MPYA YA USHIRIKIANO WA MASHIRIKA YA UMMA

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, jijini Dar es Salaam, akifuatilia kwa makini wa akiwa katika mkutano na ujumbe wa wataalamu kutoka SASA...