Monday, September 14, 2009

Mambo ya Tanga


Wafanyabiashara za mboga na matunda wa mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto wakiwa katika harakati za kuuza bidhaa zao, Soko hilo limejizolea umaarufu ambapo wasafiri wengi wanaiongia na kutoka katika Wilaya hiyo wamekuwa wakinufaika kwa kupata huduma hiyo.Picha ya mdau Burhani Yakub wa Tanga.

No comments:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...