Monday, September 14, 2009

Mambo ya Tanga


Wafanyabiashara za mboga na matunda wa mji mdogo wa Soni Wilayani Lushoto wakiwa katika harakati za kuuza bidhaa zao, Soko hilo limejizolea umaarufu ambapo wasafiri wengi wanaiongia na kutoka katika Wilaya hiyo wamekuwa wakinufaika kwa kupata huduma hiyo.Picha ya mdau Burhani Yakub wa Tanga.

No comments:

TANAPA YAZINDUA RASMI APP YAKE KUPANUA UTALII DUNIANI

Na. Calvin Katera - Mikumi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), limezindua rasmi Programu Tumizi "App" yake Leo Oktoba 0...