
Abiria wa Daladala wakigombana baada ya gari walilokuwa wamepanda kutokea Tegeta kwenda Mwenge kugongana kitika kituo cha samaki na kuhatarisha usalama wao jijini Dar es Salaam. Picha na Salhim Shao
Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...
No comments:
Post a Comment