Saturday, September 12, 2009

Matata ya daftari la kudumu Pemba



Nihifadhi Khamis akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)


Mzee Ali Nassor akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...