Saturday, September 12, 2009

Matata ya daftari la kudumu Pemba



Nihifadhi Khamis akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)


Mzee Ali Nassor akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...