Saturday, September 12, 2009

Matata ya daftari la kudumu Pemba



Nihifadhi Khamis akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)


Mzee Ali Nassor akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...