Saturday, September 12, 2009

Matata ya daftari la kudumu Pemba



Nihifadhi Khamis akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)


Mzee Ali Nassor akilia kwa uchungu huku akimwomba amsaidie kupata haki yake ya kuandikishwa katika Daftari la kudumu la Wapiga kura jana katika kituo cha Kiuyu Minungwini jana, ambapo watu wengi walikwama kupatiwa haki hiyo kwa kukosa kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi (Picha na Salim Said)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...