Wednesday, September 16, 2009

Msafiri kafiri


Wasafiri wanaotumia usafiri wa shirika la Reli nchini (TRC) wakiwa wamekwama katika stesheni ya mkoa wa Morogoro wakati wakisubiria usafiri wa kwenda mikoa ya bara baada ya treni ya mizigo kuanguka katika Kijiji cha Msua na Kwala mkoani Pwani treni hiyo ilikuwa likitokea Dar es Salaam.Picha na Juma Mtanda

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...