Tuesday, September 15, 2009

Ajali ya treni




Lori la kubeba mchanga likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongwa na treni ya mizigo katika eneo la Makulu mjini Dodoma jana baada ya lori hilo kukatiza reli sehemu ambayo haina kivuko. Hakuna aliyereruhiwa katika ajali hiyo. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...