Tuesday, September 15, 2009

Ajali ya treni




Lori la kubeba mchanga likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongwa na treni ya mizigo katika eneo la Makulu mjini Dodoma jana baada ya lori hilo kukatiza reli sehemu ambayo haina kivuko. Hakuna aliyereruhiwa katika ajali hiyo. Picha na Jube Tranquilino

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...