Wednesday, September 30, 2009

Bunge la Jumuiya ya Madola


Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya Madola Samwel Sitta (kulia) akibadilishana mawazo na Spika wa Bunge la India Meira Kumar (kushoto) jana wakati wa mkutano wa 55 wa CPA unaoendelea mjini Arusha. Wengine ni wajumbe wa mkutano huo kutoka India (katikati)


picha ya Pamoja ya Kamati tendaji ya CPA pamoja na Rais wa Chama hicho Samweli sitta(katikati) na katibu wa Chama cha Mabunge ya jumuiya ya madola Dk William Shija (wa kwanza kushoto waliosimama). Kamati hiyo inahudhuria mkutano unaoendelea mjini Arusha. Picha zote na Anna Itenda - Maelezo- Arusha.

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...