Monday, September 14, 2009

Mchungaji kizimbani kwa mauaji


Mchungaji wa kanisa la e Winners' Chapel, Denis Mlazi, akisindikizwa kuingia kwenye chumba cha mahakama ya Temeke leo akikabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe, Rosemary Munseri.

1 comment:

Anonymous said...

Mtu kama huyo hana haki ya kuishi duniani bora akapunzike mbeele ya haki manake fukifanya jema utalipwa jema sasa bas haki ipo kwa mungu duniani hakuna haki na malipo ya zambi kwasasa ni hapa hapa duniani mbinguni mabo mengine yata fuata

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...