Monday, September 14, 2009

Mchungaji kizimbani kwa mauaji


Mchungaji wa kanisa la e Winners' Chapel, Denis Mlazi, akisindikizwa kuingia kwenye chumba cha mahakama ya Temeke leo akikabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe, Rosemary Munseri.

1 comment:

Anonymous said...

Mtu kama huyo hana haki ya kuishi duniani bora akapunzike mbeele ya haki manake fukifanya jema utalipwa jema sasa bas haki ipo kwa mungu duniani hakuna haki na malipo ya zambi kwasasa ni hapa hapa duniani mbinguni mabo mengine yata fuata

πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΊπŸ‡¬ DIPLOMASIA NA USHIRIKIANO WA TANZANIA–UGANDA WAZIDI KUIMARIKA

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili katika Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam leo, tarehe 06 Agosti 2026, ...