Monday, September 14, 2009

Mchungaji kizimbani kwa mauaji


Mchungaji wa kanisa la e Winners' Chapel, Denis Mlazi, akisindikizwa kuingia kwenye chumba cha mahakama ya Temeke leo akikabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe, Rosemary Munseri.

1 comment:

Anonymous said...

Mtu kama huyo hana haki ya kuishi duniani bora akapunzike mbeele ya haki manake fukifanya jema utalipwa jema sasa bas haki ipo kwa mungu duniani hakuna haki na malipo ya zambi kwasasa ni hapa hapa duniani mbinguni mabo mengine yata fuata

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...