Pinda akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa India, S. M. Krishna kabla ya mazungumzo yao kwenye jumba la Hyderabad jijini New Delhi, leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa India, M. Hamid Ansari kwenye Ofisi ya Makamu huyo wa Rais, jijini New Delhi akiwa katika ziara ya Kikazi nchini India.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Makamu wa Rais wa India, M. Hamid Ansari, ofisini kwa makamu huyo wa Rais jijini New Delhi , akiwa katika ziara ya kakazi nchini India , Septemba 15, 2009. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
3 comments:
air force 1
moncler
off white
nike lebron 16
air jordans
supreme new york
kyrie 6
kd 11
steph curry shoes
adidas yeezy
i0l79r5k37 z0t84r7j63 n4n20b9p97 g7w80s4a25 a3r54g7b49 g6s08q4e80
e9c13j3n92 d1j92u5u21 o9f09k9j98 m0y12c5n53 r9c12c2d29 h3d66o9h44
Post a Comment