Monday, September 28, 2009

MAMA MARIA NYERERE ALONGA NA WANAHABARI LEO!!




Mjane wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere akiongea na wanahabari nyumbani kwake msasani jijini leo, wakati alipotoa taarifa juu ya tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Marehemu Malimu J.K.Nyerere kutoka kwa rais wa balaza kuu la umoja wa mataifa katika kutambua mchango wake kwa nchi za bara la Afrika, kushoto ni mtoto wake Makongaro Nyerere.

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...