Monday, September 28, 2009

MAMA MARIA NYERERE ALONGA NA WANAHABARI LEO!!




Mjane wa baba wa Taifa mama Maria Nyerere akiongea na wanahabari nyumbani kwake msasani jijini leo, wakati alipotoa taarifa juu ya tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Marehemu Malimu J.K.Nyerere kutoka kwa rais wa balaza kuu la umoja wa mataifa katika kutambua mchango wake kwa nchi za bara la Afrika, kushoto ni mtoto wake Makongaro Nyerere.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...