Jokate Mwegelo msemaji wa Kampuni ya DT Dobie Tanzania akijaribu gari mpya aina ya Mercedes Benz E Class, Sehemu mapato ya mauzo ya gari hilo yatatumika katika kusaidia vituo mblalimbali vinavyohudumia watoto yatima ambao wazazi wao wamefariki kwa madhara ya UKIMWI. Kulia ni Meneja Biashara wa kampuni hiyo Wayne Mcintosh na katikati ni Marco Kahabi ambaye ni Meneja wa Tenda wa kampuni hiyo.
Thursday, September 10, 2009
Mercedes Benz E-Class lazinduliwa na DT Dobie Tz
Jokate Mwegelo msemaji wa Kampuni ya DT Dobie Tanzania akijaribu gari mpya aina ya Mercedes Benz E Class, Sehemu mapato ya mauzo ya gari hilo yatatumika katika kusaidia vituo mblalimbali vinavyohudumia watoto yatima ambao wazazi wao wamefariki kwa madhara ya UKIMWI. Kulia ni Meneja Biashara wa kampuni hiyo Wayne Mcintosh na katikati ni Marco Kahabi ambaye ni Meneja wa Tenda wa kampuni hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
No comments:
Post a Comment