Thursday, September 10, 2009

Mercedes Benz E-Class lazinduliwa na DT Dobie Tz


Jokate Mwegelo msemaji wa Kampuni ya DT Dobie Tanzania akijaribu gari mpya aina ya Mercedes Benz E Class, Sehemu mapato ya mauzo ya gari hilo yatatumika katika kusaidia vituo mblalimbali vinavyohudumia watoto yatima ambao wazazi wao wamefariki kwa madhara ya UKIMWI. Kulia ni Meneja Biashara wa kampuni hiyo Wayne Mcintosh na katikati ni Marco Kahabi ambaye ni Meneja wa Tenda wa kampuni hiyo.

No comments:

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...