Tuesday, September 22, 2009

Waziri Nchimbi ziarani Lebanon, Yerusalem


Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Emmanuel Nchimbi, akiwa ziarani Lebanon ambapo alikwenda kujionea mwenyewe operesheni za ulinzi wa amani zinavyofanyika huko na hapa anaonekana akitembelea eneo mwamba ambao alijipumzisha Yesu enzi zile akisambaza neno la Mungu.

Hapa ni eneo ambapo Nabii Mussa aliweza kuonyesha muujiza baada ya kuchapa fimbo jangwani na maji yakatiririka, maji haya yanatiririka hadi leo hii kama unavyoona katika bomba.



Nchimbi akikagua kombania ya vikosi vya Umoja wa Mataifa vya kulinda amani nchini Lebanon.Picha kwa hisani ya Wizara ya Ulinzi.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...