Tuesday, September 22, 2009

Waziri Nchimbi ziarani Lebanon, Yerusalem


Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Emmanuel Nchimbi, akiwa ziarani Lebanon ambapo alikwenda kujionea mwenyewe operesheni za ulinzi wa amani zinavyofanyika huko na hapa anaonekana akitembelea eneo mwamba ambao alijipumzisha Yesu enzi zile akisambaza neno la Mungu.

Hapa ni eneo ambapo Nabii Mussa aliweza kuonyesha muujiza baada ya kuchapa fimbo jangwani na maji yakatiririka, maji haya yanatiririka hadi leo hii kama unavyoona katika bomba.



Nchimbi akikagua kombania ya vikosi vya Umoja wa Mataifa vya kulinda amani nchini Lebanon.Picha kwa hisani ya Wizara ya Ulinzi.

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...