Friday, September 04, 2009

Nyumbi hii bombi hii


Wafanyakazi wa kampuni ya MODSPAN ya Mjini Songea wakichimba mitaro jana katika moja ya barabara ili hospitali ya mkoa Ruvuma ambayo inajengwa kwa kiwango cha lami ambapo ni moja kati ya mitaa inayojengwa barabara kwa kiwango cha lami mjini Songea .

1 comment:

Anonymous said...

umenikumbusha mbaaali sana enzi za kufoji stamp na kwenda kupost barua pale posta karibu na hospital baada ya gereza,duuuduu siku kibao zimepita lakini vumbi badooo mwana box 2

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...