Friday, September 04, 2009

Nyumbi hii bombi hii


Wafanyakazi wa kampuni ya MODSPAN ya Mjini Songea wakichimba mitaro jana katika moja ya barabara ili hospitali ya mkoa Ruvuma ambayo inajengwa kwa kiwango cha lami ambapo ni moja kati ya mitaa inayojengwa barabara kwa kiwango cha lami mjini Songea .

1 comment:

Anonymous said...

umenikumbusha mbaaali sana enzi za kufoji stamp na kwenda kupost barua pale posta karibu na hospital baada ya gereza,duuuduu siku kibao zimepita lakini vumbi badooo mwana box 2

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...