Friday, September 04, 2009

Nyumbi hii bombi hii


Wafanyakazi wa kampuni ya MODSPAN ya Mjini Songea wakichimba mitaro jana katika moja ya barabara ili hospitali ya mkoa Ruvuma ambayo inajengwa kwa kiwango cha lami ambapo ni moja kati ya mitaa inayojengwa barabara kwa kiwango cha lami mjini Songea .

1 comment:

Anonymous said...

umenikumbusha mbaaali sana enzi za kufoji stamp na kwenda kupost barua pale posta karibu na hospital baada ya gereza,duuuduu siku kibao zimepita lakini vumbi badooo mwana box 2

MSAJILI WA HAZINA AZINDUA MPANGO MKAKATI WA NMB 2026-2030

Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amezindua Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Benki ya NMB wa mwaka...