Wafanyakazi wa kampuni ya MODSPAN ya Mjini Songea wakichimba mitaro jana katika moja ya barabara ili hospitali ya mkoa Ruvuma ambayo inajengwa kwa kiwango cha lami ambapo ni moja kati ya mitaa inayojengwa barabara kwa kiwango cha lami mjini Songea .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
1 comment:
umenikumbusha mbaaali sana enzi za kufoji stamp na kwenda kupost barua pale posta karibu na hospital baada ya gereza,duuuduu siku kibao zimepita lakini vumbi badooo mwana box 2
Post a Comment