Friday, September 04, 2009

Nyumbi hii bombi hii


Wafanyakazi wa kampuni ya MODSPAN ya Mjini Songea wakichimba mitaro jana katika moja ya barabara ili hospitali ya mkoa Ruvuma ambayo inajengwa kwa kiwango cha lami ambapo ni moja kati ya mitaa inayojengwa barabara kwa kiwango cha lami mjini Songea .

1 comment:

Anonymous said...

umenikumbusha mbaaali sana enzi za kufoji stamp na kwenda kupost barua pale posta karibu na hospital baada ya gereza,duuuduu siku kibao zimepita lakini vumbi badooo mwana box 2

Compact Energies: Nishati ya Jua Ni Chachu ya Mageuzi ya Uchumi Tanzania

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Kitanzania ya Compact Energies, inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya kisasa vinavyotumia n...