Thursday, September 24, 2009

Michezo ya watoto


Michezo ya watoto bwana inashangaza, wanaweza kufanya michezo ya hatari mpaka ukashangaa, hebu angalia hawa watoto wa Dar es Salaam wanavyoogelea kwenye mto mchafu, kemikali zimemwagwa humoo hakuna usalama, lakini watoto wanajimwaga mto Msimbazi ni hatari tupu.

No comments:

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ashiriki Kupiga Kura ya Maoni Jimbo la Ruangwa

  Ruangwa, Lindi – Agosti 4, 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) , ambaye pia ni aliyekuwa M...