Thursday, September 24, 2009

Michezo ya watoto


Michezo ya watoto bwana inashangaza, wanaweza kufanya michezo ya hatari mpaka ukashangaa, hebu angalia hawa watoto wa Dar es Salaam wanavyoogelea kwenye mto mchafu, kemikali zimemwagwa humoo hakuna usalama, lakini watoto wanajimwaga mto Msimbazi ni hatari tupu.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...