Tuesday, September 08, 2009

Tamasha la jinsia


Mgeni rasmi wa tamasha hilo kutoka chuo kikuu cha Makerere Uganda, Prof Silvia Tamale akijiachia vilivyo na msanii mghani wa mashairi, Irene Sanga leo mchana mara baada ya tamasha la jinsia kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam.

No comments:

TANZANIA, CHINA ZAFUNGUA SURA MPYA YA USHIRIKIANO WA MASHIRIKA YA UMMA

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, jijini Dar es Salaam, akifuatilia kwa makini wa akiwa katika mkutano na ujumbe wa wataalamu kutoka SASA...