Tuesday, September 08, 2009

Tamasha la jinsia


Mgeni rasmi wa tamasha hilo kutoka chuo kikuu cha Makerere Uganda, Prof Silvia Tamale akijiachia vilivyo na msanii mghani wa mashairi, Irene Sanga leo mchana mara baada ya tamasha la jinsia kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...