Tuesday, September 08, 2009

Tamasha la jinsia


Mgeni rasmi wa tamasha hilo kutoka chuo kikuu cha Makerere Uganda, Prof Silvia Tamale akijiachia vilivyo na msanii mghani wa mashairi, Irene Sanga leo mchana mara baada ya tamasha la jinsia kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam.

No comments:

RAIS MWINYI:SEKTA YA UHANDISI NA USANIFU NI KIUNGO MUHIMU KWA MAENDELEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa sekta ya Uhandisi na Usanifu wa Majengo ni ...