
Mgeni rasmi wa tamasha hilo kutoka chuo kikuu cha Makerere Uganda, Prof Silvia Tamale akijiachia vilivyo na msanii mghani wa mashairi, Irene Sanga leo mchana mara baada ya tamasha la jinsia kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa sekta ya Uhandisi na Usanifu wa Majengo ni ...
No comments:
Post a Comment