Tuesday, September 08, 2009

Tamasha la jinsia


Mgeni rasmi wa tamasha hilo kutoka chuo kikuu cha Makerere Uganda, Prof Silvia Tamale akijiachia vilivyo na msanii mghani wa mashairi, Irene Sanga leo mchana mara baada ya tamasha la jinsia kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...