Wednesday, September 02, 2009

RAIS JAKAYA AKIBADILISHANA MAWAZO NA RAIS MUAMAR GADAFI!


Rais Jakaya Kikwete akiongea na mwenyeji wake Kiongozi wa Libya Muamar Gadafi ambaye pia amesherehekea miaka 40 ya utawala wake hivi karibuni rais pia alihudhuria mkutano wa AU nchini Libya.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...