Wednesday, September 02, 2009

RAIS JAKAYA AKIBADILISHANA MAWAZO NA RAIS MUAMAR GADAFI!


Rais Jakaya Kikwete akiongea na mwenyeji wake Kiongozi wa Libya Muamar Gadafi ambaye pia amesherehekea miaka 40 ya utawala wake hivi karibuni rais pia alihudhuria mkutano wa AU nchini Libya.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...