Wednesday, September 02, 2009

Pinda Atua Kenya



Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga wakitazama ngoma baada ya Waziri Mkuu Pinda kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta kwa ziara ya siku mbili.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL NIÑO

  Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. James Kilabuko. Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti...