Wednesday, September 02, 2009

Pinda Atua Kenya



Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga wakitazama ngoma baada ya Waziri Mkuu Pinda kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta kwa ziara ya siku mbili.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekeleza...