Monday, March 09, 2009

mitindo house





Tanzania Mitindo house pia iliandaa chakula cha mchana katika hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani leo kwenye ukumbi wa utamaduni wa rashia,huku madhumuni makubwa ya hafla hiyo ikiwa ni kuwakutanisha wanawake kutoka sekta mbalimbali na kuzungumza,kupata chakula cha mchana,kucheza na kufurahi pamoja.

1 comment:

nyahbingi worrior. said...

samahani fungua kurasa ya kuchangia mawazo kuhusu jumuiya ya wanablogu tanzania.

http://blogutanzania.blogspot.com/

www.ringojr.wordpress.com

TANZANIA NA COMORO ZAENDELEZA USHIRIKIANO WA KISWAHILI KWA KUANZISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNDISHA LUGHA HIYO MASHULENI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, kupitia kwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva, ametamka kuwa Serikali inatambua na ...