Monday, March 09, 2009

mitindo house





Tanzania Mitindo house pia iliandaa chakula cha mchana katika hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani leo kwenye ukumbi wa utamaduni wa rashia,huku madhumuni makubwa ya hafla hiyo ikiwa ni kuwakutanisha wanawake kutoka sekta mbalimbali na kuzungumza,kupata chakula cha mchana,kucheza na kufurahi pamoja.

1 comment:

nyahbingi worrior. said...

samahani fungua kurasa ya kuchangia mawazo kuhusu jumuiya ya wanablogu tanzania.

http://blogutanzania.blogspot.com/

www.ringojr.wordpress.com

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ashuhudia Utiaji Saini wa Mikataba ya Ushirikiano Kati ya Tanzania na Angola

Luanda, Angola – 08 Aprili 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , leo ameshuhudia utiaji saini wa mi...