Monday, March 09, 2009

mitindo house





Tanzania Mitindo house pia iliandaa chakula cha mchana katika hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani leo kwenye ukumbi wa utamaduni wa rashia,huku madhumuni makubwa ya hafla hiyo ikiwa ni kuwakutanisha wanawake kutoka sekta mbalimbali na kuzungumza,kupata chakula cha mchana,kucheza na kufurahi pamoja.

1 comment:

nyahbingi worrior. said...

samahani fungua kurasa ya kuchangia mawazo kuhusu jumuiya ya wanablogu tanzania.

http://blogutanzania.blogspot.com/

www.ringojr.wordpress.com

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...