Tuesday, January 01, 2008

Wakenya 30 wachomwa kanisani

Watu 40 waliokuwa wamepata hifadhi katika kanisa moja mjini Eldoret wameuawa baada ya kuchomwa moto. Walipata hifadhi tangu siku mbili zilizopita na wanadaiwa walikuwa wamempigia kura Kibaki. Wameuawa leo saa saba mchana pia kuna wengine 18 wameuawa usiku wa kuamkia leo mjini Mombasa , nyumba semeteketezwa kwa moto kwa taarifa zaidi hebu cheki hapa. 

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...