Tuesday, January 01, 2008

Wakenya 30 wachomwa kanisani

Watu 40 waliokuwa wamepata hifadhi katika kanisa moja mjini Eldoret wameuawa baada ya kuchomwa moto. Walipata hifadhi tangu siku mbili zilizopita na wanadaiwa walikuwa wamempigia kura Kibaki. Wameuawa leo saa saba mchana pia kuna wengine 18 wameuawa usiku wa kuamkia leo mjini Mombasa , nyumba semeteketezwa kwa moto kwa taarifa zaidi hebu cheki hapa. 

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...