Tuesday, January 01, 2008
Wakenya 30 wachomwa kanisani
Watu 40 waliokuwa wamepata hifadhi katika kanisa moja mjini Eldoret wameuawa baada ya kuchomwa moto. Walipata hifadhi tangu siku mbili zilizopita na wanadaiwa walikuwa wamempigia kura Kibaki. Wameuawa leo saa saba mchana pia kuna wengine 18 wameuawa usiku wa kuamkia leo mjini Mombasa , nyumba semeteketezwa kwa moto kwa taarifa zaidi hebu cheki hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment